It's about Christian Faith, family and art, igniting Christian Passion for Evangalism and empowering sharing of our faith with confidence
…
continue reading
1
Episode 5-About the Kingdom of God-2(Kuhus Ufalme wa Mungu-2)
42:02
42:02
Mais Tarde
Mais Tarde
Listas
Like
Curtido
42:02
Katika Sehemu hii ya Tano ya ChrisTalkPodcast ni majadiliano ya wazi kuhusu wazo kuu, au ujumbe mkuu wa Ufalme wa Mungu. Ni Kuhusu uzima wa milele kwa wote wanaijindikisha kuingia katika ufalme, kwa kumuamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Katika Sehemu hii tumekuwa na rafiki yetu wa Karibu ndugu Innocent Mwagilo na tukajadili kwa kina kuhusu m…
…
continue reading
1
Episode 4-Kingdom of God(Kuhusu Ufalme wa Mungu)
53:29
53:29
Mais Tarde
Mais Tarde
Listas
Like
Curtido
53:29
Ni kuhusu, ufalme wa Mungu, Utawala wa Mungu pamoja na wanadam.Wazo la Mungu kuhusu Wajibu wa mwanadamu kutawala juu ya uumbamaji wake Mungu.Kuhusu Kukosa kwa Adamu wa Kwanza kuashiria kuanza kwa mwisho wa ulimwengu uliwekwa chini yake, na KUshinda kwa Adamu wa Pili Yesu Kristo na Kuanza kwa ufalme wa Milele,utakanao na kazi kamilifu ya Utukufu ya …
…
continue reading
1
FAITH WHICH SAVES-IMANI IOKOAYO 3-PREMIUM EPISODE
1:10:13
1:10:13
Mais Tarde
Mais Tarde
Listas
Like
Curtido
1:10:13
Mazungumzo kuhusu Imani Iokayo(Faith Which Saves), Mimi na rafiki zangu Tumejadili kuhusu, Imani ya Wokovu ndani ya Kristo Yesu, UUngu wa Yesu, Ubinadamu wake, kifo chake, na tumaini tulilo nalo wamini kutokana na kufufuka kwake, Mimi ni Christopher Lusiga, mwenyeji wako katika ChrisTalkPodcast, KARIBU…
…
continue reading
Mazungumzo ya Awali kuhusu Imani Iokayo(Faith Which Saves), Katika Episode hii ya kwanza tumezungumza mambo ya awali na ya msingi kuhusu ahadi za Mungu kuhusu Injili na uzima ndani ya Kristo Yesu. Tumajadili kuhusu Yesu, alijitanabaisha kuwa yeye ni nani alipokuja ulimwenguni, kwa nini ilibidi aishi kama mtu, asulubiwe kufa na kuhusu ushindi utokan…
…
continue reading
Mazungumzo ya Awali kuhusu Imani Iokayo(Faith Which Saves), Katika Episode hii ya kwanza tumezungumza mambo ya awali na ya msingi kuhusu ahadi za Mungu kuhusu Injili na uzima ndani ya Kristo Yesu. Tumajadili kuhusu Yesu, alijitanabaisha kuwa yeye ni nani alipokuja ulimwenguni, kwa nini ilibidi aishi kama mtu, asulubiwe kufa na kuhusu ushindi utokan…
…
continue reading